ಸುದ್ದಿ
RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Tanzania inang’ara katika biashara duniani. Dk Mwinyi alisema hayo wakati ...
KILIMO cha mwani kimekuwa kama pumzi mpya ya uchumi katika ukanda wa pwani, hasa Zanzibar na mikoa ya Lindi, Tanga na Pwani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa sekta ya utalii ni sekta ya ...
Tangu Bunge la 12 la Tanzania kukamilisha rasmi shughuli zake tarehe 27 Juni 2025. Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, ...
Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mawe na mchanga kisiwani hapo, Serikali ina mpango wa kusafirishia madini hayo kutoka Tanzania Bara na kuyaleta hapa kwa lengo la kupunguza changamoto hiyo.
Viongozi hao waliahidi kuungana na kuutangaza mwaka 2019 kuwa ni 'Mwaka wa Kudai Demokrasia', na kadhalika wakaahidi kufanya mikutano ya siasa bila kujali katazo la mikutano ya hadhara.
Kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kusikilizwa leo Alhamisi ...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika na Bodi ya Wadhamini wamemuandikia barua Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania ya kumtaka Jaji Hamidu Mwanga ajitoe kusikili ...
KIKOSI cha JKU Princess, kimeibuka mabingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (ZWPL) baada ya kuifunga Sauti Sisters mabao 2 ...
TAMASHA la kimataifa la filamu Zanzibar (ZIFF), ndiyo kongwe na kubwa la filamu Afrika Mashariki. Limekuwa likifanyika ...
Tanzania imewarejesha nyumbani baadhi ya raia wake waliokuwa nchini Israel wakati vita vilipozuka kati ya nchi hiyo na hasimu ...
Kisiwa cha Zanzibar nchini Tanzania Mashariki mwa Afrika kimepiga hatua kubwa katika suala la ujumuishaji wa watu wenye ulemavu katika sekta mbalimbali kwa kuzingatia mikataba ya Umoja wa Mataifa ya ...
ಕೆಲವು ಫಲಿತಾಂಶಗಳನ್ನು ಮರೆಮಾಡಲಾಗಿದೆ ಏಕೆಂದರೆ ನೀವು ಅವುಗಳನ್ನು ಪ್ರವೇಶಿಸಲು ಸಾಧ್ಯವಾಗದಿರಬಹುದು.
ಪ್ರವೇಶಿಸಲಾಗದ ಫಲಿತಾಂಶಗಳನ್ನು ತೋರಿಸಿ